Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 20:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akamwambia: “Ni jambo lisilowaziwa!+ Hutakufa. Tazama! Baba yangu hatafanya jambo kubwa wala jambo dogo, asilifunue sikioni mwangu;+ na kwa nini baba yangu anifiche jambo hilo?+ Hilo halitendeki.”

  • 2 Samweli 7:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana wewe, Yehova wa majeshi Mungu wa Israeli, umemfunulia mtumishi wako katika sikio, ukisema, ‘Nitakujengea nyumba.’+ Ndiyo sababu mtumishi wako amejipa moyo kusali kwako kwa sala hii.+

  • Ayubu 33:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ndipo anapofungua sikio la wanadamu,+

      Naye hutia muhuri wake kwa kuwasihi wao,

  • Zaburi 25:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Urafiki wa karibu pamoja na Yehova ni wa wale wanaomwogopa,+

      Pia agano lake, ili kuwafanya walijue.+

  • Zaburi 99:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Musa na Haruni walikuwa kati ya makuhani wake,+

      Na Samweli alikuwa kati ya wale walioliitia jina lake.+

      Walikuwa wakimwita Yehova, naye akaendelea kuwajibu.+

  • Amosi 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki