1 Samweli 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Yese akachukua punda, mkate na kiriba cha ngozi+ cha divai na mwana-mbuzi, na kuvituma kwa Sauli kwa mkono wa Daudi mwana wake.+ Methali 3:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Usiwanyime watu mema wanayostahili,+ mkono wako ukiwa na uwezo wa kuyafanya.+ Methali 18:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Zawadi ya mwanadamu itamfungulia nafasi kubwa,+ nayo itamwongoza hata mbele ya watu wakuu.+
20 Basi Yese akachukua punda, mkate na kiriba cha ngozi+ cha divai na mwana-mbuzi, na kuvituma kwa Sauli kwa mkono wa Daudi mwana wake.+