1 Samweli 17:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Kwa hiyo Mfilisti akamwambia Daudi: “Je, mimi ni mbwa+ hivi kwamba unijie na fimbo?” Basi huyo Mfilisti akamlaani Daudi kwa miungu yake.+ 1 Samweli 24:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Je, mfalme wa Israeli ametoka nje kumfuata nani? Unamfuatilia nani? Mbwa aliyekufa?+ Kiroboto mmoja?+ 2 Samweli 16:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwishowe Abishai mwana wa Seruya+ akamwambia mfalme: “Kwa nini huyu mbwa mfu+ amlaani bwana wangu mfalme?+ Tafadhali acha nivuke, niende nikiondoe kichwa chake.”+
43 Kwa hiyo Mfilisti akamwambia Daudi: “Je, mimi ni mbwa+ hivi kwamba unijie na fimbo?” Basi huyo Mfilisti akamlaani Daudi kwa miungu yake.+
14 Je, mfalme wa Israeli ametoka nje kumfuata nani? Unamfuatilia nani? Mbwa aliyekufa?+ Kiroboto mmoja?+
9 Mwishowe Abishai mwana wa Seruya+ akamwambia mfalme: “Kwa nini huyu mbwa mfu+ amlaani bwana wangu mfalme?+ Tafadhali acha nivuke, niende nikiondoe kichwa chake.”+