Methali 11:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Anayesimama imara kwa ajili ya uadilifu anaelekea kupata uzima,+ lakini anayefuatilia yaliyo mabaya anaelekea kwenye kifo chake mwenyewe.+ Methali 14:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa sababu ya ubaya wake mwovu atasukumwa chini,+ lakini mwadilifu atakuwa akipata kimbilio katika utimilifu wake.+ Mhubiri 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini mambo hayatakuwa mema kwa mwovu,+ wala hatarefusha siku zake zilizo kama kivuli,+ kwa sababu hamwogopi Mungu.+
19 Anayesimama imara kwa ajili ya uadilifu anaelekea kupata uzima,+ lakini anayefuatilia yaliyo mabaya anaelekea kwenye kifo chake mwenyewe.+
32 Kwa sababu ya ubaya wake mwovu atasukumwa chini,+ lakini mwadilifu atakuwa akipata kimbilio katika utimilifu wake.+
13 Lakini mambo hayatakuwa mema kwa mwovu,+ wala hatarefusha siku zake zilizo kama kivuli,+ kwa sababu hamwogopi Mungu.+