28 Kisha Absalomu akawaamuru watumishi wake, akisema: “Tafadhali, angalieni kwamba mara tu moyo wa Amnoni utakapochangamka kwa divai,+ nami niwaambie, ‘Mpigeni Amnoni!’ Ndipo ninyi mtakapomuua. Msiogope.+ Je, mimi sikuwaamuru? Iweni na nguvu, na muwe wanaume mashujaa.”