Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 13:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kisha Absalomu akawaamuru watumishi wake, akisema: “Tafadhali, angalieni kwamba mara tu moyo wa Amnoni utakapochangamka kwa divai,+ nami niwaambie, ‘Mpigeni Amnoni!’ Ndipo ninyi mtakapomuua. Msiogope.+ Je, mimi sikuwaamuru? Iweni na nguvu, na muwe wanaume mashujaa.”

  • 2 Samweli 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi Yoabu+ mwana wa Seruya+ akapata kujua kwamba moyo wa mfalme ulimwelekea Absalomu.+

  • 2 Samweli 15:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sasa Absalomu akatuma wapelelezi+ katika nchi yote ya Israeli, akisema: “Mara mtakaposikia sauti ya baragumu, ninyi pia mseme, ‘Absalomu amekuwa mfalme+ katika Hebroni!’”+

  • 2 Samweli 18:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo Yoabu akasema: “Acha nisijikawize hivi mbele yako!” Basi akachukua mkononi mwake mikuki midogo mitatu, akaichoma+ ndani ya moyo wa Absalomu alipokuwa bado hai+ katikati ya ule mti mkubwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki