Esta 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi Mordekai+ akapata kujua mambo yote yaliyokuwa yamefanywa;+ ndipo Mordekai akararua mavazi yake na kuvaa nguo za magunia+ na majivu,+ akaenda katikati ya jiji, akalia kwa sauti kubwa na yenye uchungu.+ Zaburi 65:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee msikiaji wa sala, kwako wewe watu wote wenye mwili watakuja.+ Zaburi 142:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 142 Kwa sauti yangu, nilimwomba Yehova msaada;+Kwa sauti yangu, nilianza kumlilia Yehova anionyeshe kibali.+
4 Basi Mordekai+ akapata kujua mambo yote yaliyokuwa yamefanywa;+ ndipo Mordekai akararua mavazi yake na kuvaa nguo za magunia+ na majivu,+ akaenda katikati ya jiji, akalia kwa sauti kubwa na yenye uchungu.+
142 Kwa sauti yangu, nilimwomba Yehova msaada;+Kwa sauti yangu, nilianza kumlilia Yehova anionyeshe kibali.+