Mambo ya Walawi 26:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nitaweka amani katika nchi,+ nanyi mtalala, pasipo yeyote wa kuwatetemesha;+ nami nitamkomesha katika nchi+ mnyama-mwitu mwenye madhara, nao upanga hautapita katika nchi yenu.+ Zaburi 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nami nitajilaza nipate kulala usingizi;Hakika nitaamka, kwa maana Yehova anaendelea kunitegemeza.+ Methali 3:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Unapolala hutahofu;+ nawe hakika utalala, nao usingizi wako utakuwa mtamu.+
6 Nami nitaweka amani katika nchi,+ nanyi mtalala, pasipo yeyote wa kuwatetemesha;+ nami nitamkomesha katika nchi+ mnyama-mwitu mwenye madhara, nao upanga hautapita katika nchi yenu.+