Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 109:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa sababu hakukumbuka kuonyesha fadhili zenye upendo,+

      Bali aliendelea kumfuatilia mtu mwenye kuteseka na aliye maskini+

      Na mwenye huzuni moyoni, ili kumuua.+

  • Methali 22:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Anayempunja mtu wa hali ya chini ili ajipatie vitu vingi,+ pia yeye anayempa tajiri, hakika atakuwa na uhitaji.+

  • Isaya 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 ili kuwasukuma mbali watu wa hali ya chini kutoka kwenye kesi na kuwanyang’anya haki wale wanaoteseka kati ya watu wangu,+ ili wajane wawe nyara yao, na ili hata wapore wavulana wasio na baba!+

  • Amosi 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Sikieni hili, ninyi mnaouma maskini,+ ili kuwakomesha wapole wa dunia,+

  • Yakobo 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Tazama! Mishahara iliyo haki ya wafanyakazi waliovuna mashamba yenu lakini ambayo mmeizuilia,+ inaendelea kupaaza kilio,+ na vilio vya kuomba msaada+ vya wavunaji vimeingia masikioni+ mwa Yehova wa majeshi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki