Ayubu 27:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana ni nini tumaini la mwasi-imani iwapo anamkatilia mbali,+Iwapo Mungu anachukua nafsi yake kutoka kwake?+ Ayubu 35:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na ingawa hivyo hakuna yeyote ambaye amesema, ‘Yuko wapi Mungu, Mtengenezaji Mkuu wangu,+Yeye anayetoa muziki wakati wa usiku?’+ Zaburi 95:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ingieni, tuabudu na kuinama;+Na tupige magoti+ mbele za Yehova Mtengenezaji wetu.+
8 Kwa maana ni nini tumaini la mwasi-imani iwapo anamkatilia mbali,+Iwapo Mungu anachukua nafsi yake kutoka kwake?+
10 Na ingawa hivyo hakuna yeyote ambaye amesema, ‘Yuko wapi Mungu, Mtengenezaji Mkuu wangu,+Yeye anayetoa muziki wakati wa usiku?’+