Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 27:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Kwa maana ni nini tumaini la mwasi-imani iwapo anamkatilia mbali,+

      Iwapo Mungu anachukua nafsi yake kutoka kwake?+

  • Ayubu 35:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na ingawa hivyo hakuna yeyote ambaye amesema, ‘Yuko wapi Mungu, Mtengenezaji Mkuu wangu,+

      Yeye anayetoa muziki wakati wa usiku?’+

  • Zaburi 95:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ingieni, tuabudu na kuinama;+

      Na tupige magoti+ mbele za Yehova Mtengenezaji wetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki