Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mwanadamu anayeweza kufa+ ni nini hivi kwamba umweke akilini,+

      Na mwana wa mtu wa udongo hivi kwamba umtunze?+

  • Zaburi 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+

      Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+

      Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu.

  • Zaburi 33:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kutoka katika mahali palipofanywa imara ambako yeye hukaa+

      Amewakazia macho wale wote wanaokaa duniani.

  • Zaburi 102:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana yeye ametazama chini kutoka katika kilele chake kitakatifu,+

      Kutoka katika mbingu Yehova ametazama chini, naam, kwenye dunia,+

  • Yeremia 16:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana macho yangu yako juu ya njia zao zote. Hawakufichwa kutoka mbele zangu, wala kosa lao halikufichwa kutoka mbele za macho yangu.+

  • Yeremia 23:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Au, je, mtu yeyote anaweza kujificha katika maficho nami nisimwone?”+ asema Yehova.

      “Je, mimi kwa kweli sizijazi mbingu na dunia?”+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki