Ayubu 33:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Yeye ameikomboa nafsi yangu isiingie shimoni,+Na uzima wangu wenyewe utaona nuru.’ Zaburi 30:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, umeitoa nafsi yangu kutoka katika Kaburi;*+Umeendelea kuniweka nikiwa hai, ili nisipate kushuka ndani ya shimo.+ Zaburi 49:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hata hivyo, Mungu mwenyewe ataikomboa nafsi yangu kutoka katika mkono wa Kaburi,*+Kwa maana atanipokea. Sela. Zaburi 56:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana umeikomboa nafsi yangu na kifo+—Je, hukuikomboa miguu yangu isijikwae?+—Ili nipate kutembea mbele za Mungu katika nuru ya wale walio hai.+ Zaburi 103:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Anayeuokoa uhai wako kutoka katika shimo,+Anayekuvika taji la fadhili zenye upendo na rehema,+
3 Ee Yehova, umeitoa nafsi yangu kutoka katika Kaburi;*+Umeendelea kuniweka nikiwa hai, ili nisipate kushuka ndani ya shimo.+
15 Hata hivyo, Mungu mwenyewe ataikomboa nafsi yangu kutoka katika mkono wa Kaburi,*+Kwa maana atanipokea. Sela.
13 Kwa maana umeikomboa nafsi yangu na kifo+—Je, hukuikomboa miguu yangu isijikwae?+—Ili nipate kutembea mbele za Mungu katika nuru ya wale walio hai.+