Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 29:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nao wakuu wa Wafilisti wakamghadhibikia; na wakuu Wafilisti wakaendelea kumwambia: “Mrudishe mtu huyo,+ mwache arudi mahali ulipompa; wala usiache ashuke pamoja nasi kwenda vitani, asije akawa mpinzani+ wetu katika vita. Na je, mtu huyu atajipatia kibali kwa bwana wake jinsi gani? Je, si kwa vichwa vya watu wetu?

  • 2 Samweli 19:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Lakini Daudi akasema: “Nina nini nanyi,+ ninyi wana wa Seruya, kwamba muwe leo mpinzani+ wangu? Je, yeyote atauawa leo katika Israeli?+ Kwa maana, je, sijui vema kwamba leo mimi ni mfalme juu ya Israeli?”

  • 1 Wafalme 11:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na Yehova akaanza kusimamisha mtu wa kumpinga+ Sulemani,+ yaani, Hadadi, Mwedomu, wa uzao wa mfalme. Yeye alikuwa katika Edomu.+

  • Zekaria 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye akanionyesha Yoshua+ kuhani mkuu akiwa amesimama mbele ya malaika wa Yehova, naye Shetani+ akiwa amesimama kwenye mkono wake wa kuume ili kumpinga.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki