Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na baada ya kumzaa Methusela, Enoko akaendelea kutembea pamoja na Mungu wa kweli miaka 300. Wakati uleule akazaa wana na mabinti.

  • 1 Wafalme 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe lazima ushike wajibu wako kwa Yehova, Mungu wako, kwa kutembea katika njia+ zake, kwa kushika sheria zake, amri zake na maamuzi yake ya hukumu+ na shuhuda zake, kulingana na yaliyoandikwa katika sheria ya Musa,+ ili utende kwa busara katika kila jambo unalofanya na kila mahali unapoenda;

  • 2 Mambo ya Nyakati 31:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na katika kila kazi aliyoanza katika utumishi+ wa nyumba ya Mungu wa kweli na katika sheria+ na katika amri ili kumtafuta+ Mungu wake, alitenda kwa moyo wake wote,+ naye akafanikiwa.+

  • Isaya 38:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 na kusema: “Nakuomba, Ee Yehova, tafadhali ukumbuke+ jinsi nilivyotembea+ mbele zako kwa ukweli+ na kwa moyo mkamilifu,+ nami nimetenda yaliyokuwa mema machoni pako.” Na Hezekia akaanza kulia sana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki