Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 7:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Amechimbua shimo, naye akalichimba;+

      Lakini ataanguka katika shimo alilolifanyiza.+

  • Zaburi 35:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+

      Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+

  • Zaburi 119:78
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  78 Wenye kimbelembele na waone aibu, kwa maana wamenipotosha bila sababu.+

      Bali mimi, najishughulisha na maagizo yako.+

  • Methali 16:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mtu asiyefaa kitu anachimbua lililo baya,+ na katika midomo yake ni kana kwamba kuna moto unaounguza.+

  • Yeremia 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Je, ubaya unapaswa kulipwa badala ya wema?+ Kwa maana wameichimbia nafsi yangu shimo.+ Ukumbuke kusimama kwangu mbele zako ili kusema mema kuwahusu wao, ili kuigeuza ghadhabu yako iondoke kwao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki