Zaburi 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Amechimbua shimo, naye akalichimba;+Lakini ataanguka katika shimo alilolifanyiza.+ Zaburi 35:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+ Zaburi 119:78 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 78 Wenye kimbelembele na waone aibu, kwa maana wamenipotosha bila sababu.+Bali mimi, najishughulisha na maagizo yako.+ Methali 16:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mtu asiyefaa kitu anachimbua lililo baya,+ na katika midomo yake ni kana kwamba kuna moto unaounguza.+ Yeremia 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Je, ubaya unapaswa kulipwa badala ya wema?+ Kwa maana wameichimbia nafsi yangu shimo.+ Ukumbuke kusimama kwangu mbele zako ili kusema mema kuwahusu wao, ili kuigeuza ghadhabu yako iondoke kwao.+
7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+
78 Wenye kimbelembele na waone aibu, kwa maana wamenipotosha bila sababu.+Bali mimi, najishughulisha na maagizo yako.+
27 Mtu asiyefaa kitu anachimbua lililo baya,+ na katika midomo yake ni kana kwamba kuna moto unaounguza.+
20 Je, ubaya unapaswa kulipwa badala ya wema?+ Kwa maana wameichimbia nafsi yangu shimo.+ Ukumbuke kusimama kwangu mbele zako ili kusema mema kuwahusu wao, ili kuigeuza ghadhabu yako iondoke kwao.+