Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 4:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa hiyo watu wakaamini.+ Waliposikia kwamba Yehova alikuwa amewaelekezea fikira+ wana wa Israeli na kwamba alikuwa ameyaona mateso yao,+ ndipo wakainama na kusujudu.+

  • 1 Samweli 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye akaweka nadhiri,+ akisema: “Ee Yehova wa majeshi, ikiwa hakika utayaona mateso ya kijakazi+ wako, nawe kwa kweli unikumbuke,+ na ikiwa hutamsahau kijakazi wako na kwa kweli umpe kijakazi wako uzao wa kiume, mimi nitamtoa kwa Yehova siku zote za maisha yake, wala wembe hautapita juu ya kichwa chake.”+

  • 2 Samweli 16:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Labda Yehova ataona+ kwa jicho lake, na Yehova atanirudishia wema badala ya laana yake leo hii.”+

  • Isaya 38:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ee Yehova, chukua hatua ya kuniokoa,+ nasi tutapiga nyimbo zangu za kinanda nilizochagua+

      Siku zote za maisha yetu katika nyumba ya Yehova.’”+

  • Isaya 63:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Wakati wa taabu zao zote hilo lilimtaabisha.+ Na mjumbe wake binafsi akawaokoa.+ Katika upendo wake na katika huruma yake yeye mwenyewe aliwakomboa,+ naye akawainua na kuwachukua siku zote za zamani za kale.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki