10 Hakika nitafurahi katika Yehova.+ Nafsi yangu itakuwa na shangwe katika Mungu wangu.+ Kwa maana amenivika mavazi ya wokovu;+ amenivika koti lisilo na mikono la uadilifu,+ kama bwana-arusi ambaye, kama kuhani, anavaa vazi la kichwani,+ na kama bibi-arusi anayejipamba kwa vitu vya mapambo yake.+
16 Maneno yako yalipatikana, nami nikayala;+ na neno lako linakuwa kwangu furaha na kushangilia+ kwa moyo wangu;+ kwa maana jina lako limeitwa juu yangu,+ Ee Yehova Mungu wa majeshi.+