10 Yote ambayo mkono wako unapata kufanya, yafanye kwa nguvu zako zote,+ kwa maana hakuna kazi, wala utungaji wala ujuzi+ wala hekima+ katika Kaburi,*+ mahali unapokwenda.+
12 Mjipandie mbegu kwa uadilifu;+ mvune kulingana na fadhili zenye upendo.+ Mjilimie udongo unaofaa kwa kilimo,+ kukiwa kungali na wakati wa kumtafuta Yehova mpaka atakapokuja+ na kuwatolea ninyi mafundisho kwa uadilifu.+