Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo nikasema: “Ni mpaka wakati gani, Ee Yehova?”+ Kisha akasema: “Ni mpaka majiji yabomoke, yawe bila mkaaji, na nyumba ziwe bila mtu wa udongo, na nchi iharibiwe iwe ukiwa;+

  • Isaya 17:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Katika siku hiyo majiji yake yenye ngome yatakuwa kama mahali palipoachwa kabisa katika mwitu, hata lile tawi ambalo wameliacha kabisa kwa sababu ya wana wa Israeli; napo lazima pawe mahame yenye ukiwa.+

  • Yeremia 26:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Mika+ wa Moreshethi+ alikuwa akitoa unabii katika siku za Hezekia mfalme wa Yuda+ naye akawaambia watu wote wa Yuda, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Sayuni utalimwa kama shamba,+ na Yerusalemu litakuwa marundo ya mabomoko,+ na mlima wa ile Nyumba utakuwa kama mahali pa juu pa msitu.”’+

  • Maombolezo 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Yehova amekuwa kama adui.+ Amemeza Israeli.+

      Amemeza minara yake yote ya makao;+ ameziharibu ngome zake.+

      Naye hujaza vilio na maombolezo katika binti Yuda.+

  • Ezekieli 36:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa hiyo, enyi milima ya Israeli,+ lisikieni neno la Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Ni hivi Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameambia milima na vilima, vijito na mabonde na mahali palipoharibiwa+ na kufanywa ukiwa na majiji yaliyoachwa ambayo yameporwa na kudhihakiwa na mabaki ya mataifa yanayozunguka pande zote;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki