12 Ndiyo sababu Yehova, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta msiba juu ya Yerusalemu+ na Yuda, ambao yeyote akiusikia masikio yake mawili yatawasha.+
16 Nilisikia, tumbo langu likaanza kutetemeka; midomo yangu ilitetemeka kwa sababu ya ule mvumo; kuoza kukaanza kuingia katika mifupa yangu;+ na katika hali yangu nikafadhaika, kwamba ningojee kimya siku ya taabu,+ kuja kwake kwa watu,+ apate kuwavamia.