Isaya 34:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana Yehova ana siku ya kisasi,+ mwaka wa malipo kwa ajili ya kesi juu ya Sayuni.+ Isaya 35:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Waambieni wale wanaohangaika moyoni:+ “Iweni na nguvu.+ Msiogope.+ Tazameni! Mungu wenu atakuja na kisasi,+ Mungu akiwa na malipo.+ Yeye mwenyewe atakuja na kuwaokoa ninyi.”+ Isaya 61:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kutangaza mwaka wa nia njema upande wa Yehova+ na siku ya kisasi upande wa Mungu wetu;+ kuwafariji wote wanaoomboleza;+
4 Waambieni wale wanaohangaika moyoni:+ “Iweni na nguvu.+ Msiogope.+ Tazameni! Mungu wenu atakuja na kisasi,+ Mungu akiwa na malipo.+ Yeye mwenyewe atakuja na kuwaokoa ninyi.”+
2 kutangaza mwaka wa nia njema upande wa Yehova+ na siku ya kisasi upande wa Mungu wetu;+ kuwafariji wote wanaoomboleza;+