Kumbukumbu la Torati 32:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+Kwa maana atalipiza kisasi damu ya watumishi wake,+Naye atawalipa kisasi adui zake+Naye kwa kweli atafanya upatanisho kwa ajili ya nchi ya watu wake.” Zaburi 117:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 117 Msifuni Yehova, enyi mataifa yote;+Mtukuzeni, enyi jamii zote.+ Zekaria 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Na mataifa mengi yatajiunga na Yehova siku hiyo,+ nao watakuwa watu wangu;+ nami nitakaa katikati yako.” Nawe utajua kwamba Yehova wa majeshi amenituma kwako.+
43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+Kwa maana atalipiza kisasi damu ya watumishi wake,+Naye atawalipa kisasi adui zake+Naye kwa kweli atafanya upatanisho kwa ajili ya nchi ya watu wake.”
11 “Na mataifa mengi yatajiunga na Yehova siku hiyo,+ nao watakuwa watu wangu;+ nami nitakaa katikati yako.” Nawe utajua kwamba Yehova wa majeshi amenituma kwako.+