Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 33:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hakuna mfalme anayeokolewa kwa wingi wa majeshi yake;+

      Mtu mwenye nguvu haokolewi kwa wingi wa nguvu.+

  • Methali 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+

  • Methali 15:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yehova ataibomoa nyumba ya watu waliojiinua,+ lakini atauweka imara mpaka wa mjane.+

  • Mhubiri 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nilirudi, nikaona chini ya jua kwamba si wenye mbio wanaoshinda katika mbio,+ wala wenye nguvu wanaoshinda katika pigano,+ wala pia wenye hekima wanaopata chakula,+ wala pia wenye uelewaji wanaokuwa na utajiri,+ wala wenye ujuzi wanaopata kibali;+ kwa sababu wakati na tukio lisilotazamiwa huwapata wote.+

  • Isaya 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana hiyo ni siku ya Yehova wa majeshi.+ Iko juu ya kila mtu aliyejikweza na aliye juu sana na juu ya kila mtu aliyejiinua juu au aliye chini;+

  • Isaya 16:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Tumesikia juu ya kiburi cha Moabu, kwamba yeye ana kiburi sana;+ majivuno yake na kiburi chake na ghadhabu yake+—maneno yake matupu hayatakuwa hivyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki