Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 44:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Unatuweka kuwa shutuma kwa jirani zetu,+

      Kuwa dharau na dhihaka kwa wale wanaotuzunguka pande zote.+

  • Methali 24:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Adui yako anapoanguka, usishangilie; naye anapokwazwa, moyo wako usiwe na shangwe,+

  • Maombolezo 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wote wanaopita barabarani wamekupigia makofi.+

      Wamepiga mluzi+ wa mshangao na kuendelea kutikisa vichwa+ vyao kwa sababu ya binti Yerusalemu, wakisema:

      “Je, hili ndilo lile jiji ambalo walikuwa wakisema hivi kwa habari zake, ‘Hili ndilo ukamilifu wa uzuri, furaha ya dunia yote’?”+

  • Sefania 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Nimesikia shutuma za Moabu+ na maneno mabaya ya wana wa Amoni,+ ambayo wametumia kuwashutumu watu wangu na kuendelea kujivuna sana juu ya eneo lao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki