Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 34:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,

      Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake.

  • Isaya 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na vikundi vya watu kwa kweli vitawachukua na kuwaleta mahali pao wenyewe, na nyumba ya Israeli watajichukulia hao wawe urithi juu ya udongo wa Yehova wakiwa watumishi wanaume na wakiwa wajakazi;+ nao watawateka+ wale wanaowashika mateka, nao watawatiisha wale waliokuwa wakiwalazimisha kwenda kazini.+

  • Mathayo 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kwa maana kwa hukumu mnayohukumu, mtahukumiwa;+ na kwa kipimo mnachopimia, watawapimia ninyi.+

  • Ufunuo 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mlipeni sawa na vile yeye mwenyewe alivyolipa,+ na mtendeeni mara mbili ya hivyo, ndiyo, mara mbili ya hesabu ya mambo aliyoyatenda;+ katika kikombe+ ambacho ndani yake alitia mchanganyiko mtilieni+ mchanganyiko mara mbili+ ya hivyo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki