Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 8:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Nanyi mtakaa katika mwingilio wa hema la mkutano mchana na usiku kwa siku saba,+ nanyi mtashika kesha la lazima la Yehova,+ msije mkafa; kwa maana hivyo ndivyo nimeamriwa.”

  • Hesabu 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nao watashika wajibu wao kwake na wajibu wao kwa kusanyiko lote mbele ya hema la mkutano katika kutimiza utumishi wa maskani.

  • Hesabu 3:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na mkuu wa wakuu wa wana wa Lawi alikuwa Eleazari+ mwana wa Haruni kuhani, aliyekuwa mwangalizi wa wale waliokuwa wakitimiza wajibu wa mahali patakatifu.

  • 1 Mambo ya Nyakati 9:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na hao na wana wao walikuwa juu ya malango ya nyumba ya Yehova, ile nyumba ya hema, kwa ajili ya utumishi wa ulinzi.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 13:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nao wanamfukizia Yehova toleo la kuteketezwa asubuhi baada ya asubuhi na jioni baada ya jioni+ na pia uvumba uliotiwa manukato;+ na tabaka za mkate ziko juu ya meza ya dhahabu safi,+ na kuna kinara cha taa+ cha dhahabu na taa zake ili kuwaka jioni baada ya jioni;+ kwa sababu tunashika wajibu+ kwa Yehova Mungu wetu, lakini ninyi mmemwacha.+

  • Zaburi 134:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 134 Mbarikini Yehova,+

      Ninyi nyote watumishi wa Yehova,+

      Ninyi mnaosimama katika nyumba ya Yehova nyakati za usiku.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki