Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kisha watu wote wakajibu kwa pamoja na kusema: “Yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya.”+ Mara moja Musa akarudi na kumwambia Yehova maneno ya watu.+

  • Mambo ya Walawi 26:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Na hakika wao wataungama kosa lao wenyewe+ na kosa la baba zao katika ukosefu wao wa uaminifu walipojiendesha kwa njia isiyo ya uaminifu kunielekea mimi, naam, wakati ambapo walitembea kwa kunipinga.+

  • 1 Wafalme 11:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Sababu ni kwamba wameniacha,+ wakaanza kuinama mbele ya Ashtorethi,+ mungu wa kike wa Wasidoni, na Kemoshi,+ mungu wa Moabu na Milkomu,+ mungu wa wana wa Amoni; nao hawakutembea katika njia zangu kwa kufanya yaliyo sawa machoni pangu na sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu kama Daudi baba yake.

  • Ezra 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Tangu siku za mababu zetu+ tumekuwa katika hatia kubwa mpaka leo hii;+ na kwa sababu ya makosa yetu, sisi wenyewe, wafalme wetu,+ makuhani wetu,+ tumetiwa mikononi mwa wafalme wa nchi hizi kwa upanga,+ kwa kutekwa+ na kuporwa+ na kwa aibu ya uso,+ kama ilivyo leo hii.

  • Nehemia 9:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Nao wafalme wetu, wakuu wetu, makuhani wetu na mababu zetu,+ hawakutenda sheria yako,+ wala kusikiliza amri zako+ wala shuhuda zako ambazo ulitumia kutoa ushahidi+ juu yao.

  • Ezekieli 20:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 kwa sababu walikataa maamuzi yangu mwenyewe ya hukumu; nazo sheria zangu, hawakutembea katika hizo, nazo sabato zangu walizitia unajisi, kwa sababu moyo wao ulikuwa ukifuatilia sanamu zao za mavi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki