Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yehova atasababisha tauni ishikamane nawe mpaka awe amekuangamiza kutoka katika nchi ambayo unaenda kuimiliki.+

  • 2 Samweli 24:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo Yehova akaleta tauni+ katika Israeli kuanzia asubuhi mpaka wakati uliowekwa, hivi kwamba kati ya watu kutoka Dani mpaka Beer-sheba+ watu 70,000 wakafa.+

  • Yeremia 14:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakati wanapofunga, mimi sisikilizi kilio chao cha kusihi;+ na wanapotoa toleo zima la kuteketezwa na toleo la nafaka, mimi siyafurahii;+ kwa maana nitawamaliza kwa upanga na kwa njaa na kwa tauni.”+

  • Amosi 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “ ‘Nilituma kati yenu ninyi tauni kama ile ya Misri.+ Niliwaua vijana wenu kwa upanga,+ pamoja na kuchukua mateka farasi zenu.+ Nami nikaendelea kufanya harufu ya kunuka ya kambi zenu ipande hata kuingia puani mwenu;+ lakini hamkurudi kwangu,’+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki