Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “‘Nawe usiuruhusu uzao wako wowote utolewe+ kwa Moleki.+ Usilitie unajisi+ jina la Mungu wako kwa njia hiyo. Mimi ni Yehova.+

  • Mambo ya Walawi 20:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Utawaambia wana wa Israeli, ‘Mtu yeyote wa wana wa Israeli, na mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katika Israeli, anayempa Moleki+ yeyote kati ya uzao wake, lazima auawe. Watu wa nchi watampiga kwa mawe mpaka afe.

  • 2 Wafalme 17:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 nao wakaendelea kuwapitisha motoni+ wana wao na binti zao na kufanya uaguzi+ na kutafuta ishara za bahati,+ nao wakaendelea kujiuza+ ili kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, ili kumtia uchungu;+

  • 2 Wafalme 23:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Naye akafanya Tofethi+ pasifae kwa ibada, mahali palipo katika bonde la wana wa Hinomu,+ ili yeyote asipitishe motoni mwana wake wala binti yake+ kwa Moleki.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki