2 “Utawaambia wana wa Israeli, ‘Mtu yeyote wa wana wa Israeli, na mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katika Israeli, anayempa Moleki+ yeyote kati ya uzao wake, lazima auawe. Watu wa nchi watampiga kwa mawe mpaka afe.
17 nao wakaendelea kuwapitisha motoni+ wana wao na binti zao na kufanya uaguzi+ na kutafuta ishara za bahati,+ nao wakaendelea kujiuza+ ili kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, ili kumtia uchungu;+
10 Naye akafanya Tofethi+ pasifae kwa ibada, mahali palipo katika bonde la wana wa Hinomu,+ ili yeyote asipitishe motoni mwana wake wala binti yake+ kwa Moleki.+