Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nikaendelea kuziangalia sana zile pembe, na, tazama! pembe nyingine, iliyo ndogo,+ ikatokea katikati ya hizo, na pembe tatu kati ya zile za kwanza zikang’olewa mbele yake. Na, tazama! kulikuwa na macho kama macho ya mwanadamu katika pembe hiyo, na kulikuwa na kinywa kinachosema mambo makuu.+

  • Danieli 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Nikaendelea kutazama wakati huo kwa sababu ya sauti ya maneno makuu ambayo ile pembe ilikuwa ikisema;+ nikaendelea kutazama mpaka mnyama huyo akauawa na mwili wake ukaharibiwa naye akatupwa katika moto unaowaka.+

  • Ufunuo 13:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami nikamwona mnyama-mwitu+ mwingine akipanda kutoka katika dunia,+ naye alikuwa na pembe mbili kama mwana-kondoo, lakini akaanza kusema kama joka+ mkubwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki