Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 9:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa sababu hiyo ukawatia mkononi mwa adui zao,+ walioendelea kuwataabisha;+ lakini wakati wa taabu yao walikuwa wakikulilia,+ nawe mwenyewe ulikuwa ukisikia kutoka mbinguni kwenyewe;+ nawe kulingana na rehema+ zako nyingi ukawapa waokozi+ waliowaokoa kutoka mkononi mwa adui zao.+

  • Zaburi 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Na kusema: “Mimi, naam, mimi nimemweka mfalme wangu+

      Juu ya Sayuni,+ mlima wangu mtakatifu.”+

  • Isaya 19:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nayo itakuwa ni ishara na ushahidi kwa Yehova wa majeshi katika nchi ya Misri;+ kwa maana watamlilia Yehova kwa sababu ya wakandamizaji,+ naye atawapelekea mwokozi, aliye mkuu, ambaye kwa kweli atawakomboa.+

  • Ufunuo 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami nikaisikia hesabu ya wale waliotiwa muhuri, 144,000,+ waliotiwa muhuri kutoka kila kabila+ la wana wa Israeli:+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki