27 Kwa sababu hiyo ukawatia mkononi mwa adui zao,+ walioendelea kuwataabisha;+ lakini wakati wa taabu yao walikuwa wakikulilia,+ nawe mwenyewe ulikuwa ukisikia kutoka mbinguni kwenyewe;+ nawe kulingana na rehema+ zako nyingi ukawapa waokozi+ waliowaokoa kutoka mkononi mwa adui zao.+
20 Nayo itakuwa ni ishara na ushahidi kwa Yehova wa majeshi katika nchi ya Misri;+ kwa maana watamlilia Yehova kwa sababu ya wakandamizaji,+ naye atawapelekea mwokozi, aliye mkuu, ambaye kwa kweli atawakomboa.+