Zaburi 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova ni Mchungaji wangu.+Sitakosa chochote.+ Zaburi 80:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 80 Ee Mchungaji wa Israeli, tega sikio,+Wewe unayemwongoza Yosefu kama kundi.+Wewe unayeketi juu ya makerubi,+ uangaze.+ Zaburi 95:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu, na sisi ni watu wa malisho yake na kondoo wa mkono wake.+Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+ Isaya 40:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Atalichunga kundi lake mwenyewe kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wana-kondoo kwa mkono wake;+ naye atawabeba katika kifua chake.+ Wale wanaonyonya atawaongoza kwa uangalifu.+
80 Ee Mchungaji wa Israeli, tega sikio,+Wewe unayemwongoza Yosefu kama kundi.+Wewe unayeketi juu ya makerubi,+ uangaze.+
7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu, na sisi ni watu wa malisho yake na kondoo wa mkono wake.+Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+
11 Atalichunga kundi lake mwenyewe kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wana-kondoo kwa mkono wake;+ naye atawabeba katika kifua chake.+ Wale wanaonyonya atawaongoza kwa uangalifu.+