Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kisasi ni changu, na malipo.+

      Katika wakati uliowekwa mguu wao utasogea kwa kuyumba-yumba,+

      Kwa maana siku ya maafa yao iko karibu,+

      Na matukio yanafanya haraka kujitayarisha kwa ajili yao.’+

  • Kumbukumbu la Torati 32:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+

      Kwa maana atalipiza kisasi damu ya watumishi wake,+

      Naye atawalipa kisasi adui zake+

      Naye kwa kweli atafanya upatanisho kwa ajili ya nchi ya watu wake.”

  • Yeremia 5:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Je, nisitoze hesabu kwa sababu ya mambo hayo,” asema Yehova, “au, je, nafsi yangu isijilipizie kisasi juu ya taifa ambalo liko hivyo?+

  • Hosea 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Siku za kukaziwa fikira zitakuja;+ siku za malipo yanayostahili zitakuja.+ Watu wa Israeli watajua habari hiyo.+ Nabii atakuwa mpumbavu,+ mtu wa neno lililoongozwa na roho atatiwa wazimu kwa sababu ya wingi wa makosa yako,+ hata uadui kuwa mwingi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki