2 “Sasa mikono yangu imefanya hivi vyote, hivi kwamba hivi vyote vikaja kuwako,”+ asema Yehova. “Basi, nitamtazama huyu, yeye anayeteseka na kujuta rohoni+ na kutetemeka kwa ajili ya neno langu.+
16 Na watu wao walioponyoka hakika wataponyoka+ na kuwa kama njiwa wa mabondeni juu ya milima,+ ambao wote wanaomboleza, kila mmoja katika kosa lake mwenyewe.