Waroma 8:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ni nani atakayefanya shtaka juu ya waliochaguliwa wa Mungu?+ Mungu Ndiye anayewatangaza kuwa waadilifu.+ Waefeso 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kama vile alivyotuchagua+ katika muungano naye kabla ya kuwekwa msingi+ wa ulimwengu, ili tuwe watakatifu na bila dosari+ mbele zake katika upendo.+ Waefeso 5:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 ili kujipa mwenyewe kutaniko likiwa na fahari,+ likiwa bila doa au kunyanzi au lolote la mambo hayo, bali ili liwe takatifu na bila dosari.+ Wafilipi 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 kwamba mhakikishe mambo yaliyo ya maana zaidi,+ ili muwe bila kasoro+ na msiwe mkiwakwaza+ wengine mpaka siku ya Kristo, Wakolosai 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 yeye sasa amewapatanisha+ tena kwa njia ya mwili wenye nyama wa huyo kupitia kifo chake,+ ili awatoe ninyi mkiwa watakatifu na wasio na dosari+ na bila shtaka+ lolote mbele zake,
33 Ni nani atakayefanya shtaka juu ya waliochaguliwa wa Mungu?+ Mungu Ndiye anayewatangaza kuwa waadilifu.+
4 kama vile alivyotuchagua+ katika muungano naye kabla ya kuwekwa msingi+ wa ulimwengu, ili tuwe watakatifu na bila dosari+ mbele zake katika upendo.+
27 ili kujipa mwenyewe kutaniko likiwa na fahari,+ likiwa bila doa au kunyanzi au lolote la mambo hayo, bali ili liwe takatifu na bila dosari.+
10 kwamba mhakikishe mambo yaliyo ya maana zaidi,+ ili muwe bila kasoro+ na msiwe mkiwakwaza+ wengine mpaka siku ya Kristo,
22 yeye sasa amewapatanisha+ tena kwa njia ya mwili wenye nyama wa huyo kupitia kifo chake,+ ili awatoe ninyi mkiwa watakatifu na wasio na dosari+ na bila shtaka+ lolote mbele zake,