2 Kwa ajili ya Misri,+ kuhusu jeshi la Farao Neko mfalme wa Misri,+ aliyekuwa kando ya mto Efrati kule Karkemishi,+ ambaye Nebukadreza mfalme wa Babiloni alimshinda katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda:
11 “Isugueni mishale.+ Jazeni ngao za mviringo. Yehova ameiamsha roho ya wafalme wa Wamedi,+ kwa sababu wazo lake liko juu ya Babiloni,+ ili kumharibu. Kwa maana hicho ni kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake.+
13 “Naye atanyoosha mkono wake kuelekea kaskazini, naye ataangamiza Ashuru.+ Naye atafanya Ninawi kuwa mahame yenye ukiwa,+ eneo lisilo na maji kama nyika.