Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 24:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Akawaambia wanaume wake: “Siwezi kamwe kuwazia, kulingana na maoni ya Yehova, kumtendea jambo kama hilo bwana wangu, mtiwa-mafuta wa Yehova, kwa kuinua mkono wangu dhidi yake, kwa kuwa yeye ni mtiwa-mafuta wa Yehova.”+ 7 Basi Daudi akawazuia* wanaume wake kwa maneno hayo, naye hakuwaruhusu wamshambulie Sauli. Sauli akaondoka pangoni na kwenda zake.

  • 1 Samweli 26:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hata hivyo, Daudi akamwambia Abishai: “Usimdhuru, kwa maana ni nani anayeweza kuinua mkono wake dhidi ya mtiwa-mafuta wa Yehova+ na asiwe na hatia?”+

  • 1 Samweli 26:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ni jambo nisiloweza kamwe kuwazia, kulingana na maoni ya Yehova, kwamba niinue mkono wangu dhidi ya mtiwa-mafuta wa Yehova!+ Sasa, tafadhali, chukua huo mkuki ulio karibu na kichwa chake na hilo gudulia la maji, twende zetu.”

  • Zaburi 3:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ee Yehova, kwa nini maadui wangu wamekuwa wengi sana?+

      Kwa nini watu wengi sana wanainuka dhidi yangu?+

       2 Wengi wanasema hivi kunihusu:*

      “Mungu hatamwokoa.”+ (Sela)*

  • Zaburi 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ee Yehova Mungu wangu, nimekukimbilia wewe.+

      Niokoe kutoka kwa wale wote wanaonitesa na unifanye nisalimike.+

  • Zaburi 71:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Maadui wangu wanasema mambo mabaya kunihusu,

      Na wale wanaotaka kuniua* wanapanga njama pamoja,+

      11 Wakisema: “Mungu amemwacha.

      Mkimbizeni na kumkamata, kwa maana hakuna yeyote wa kumwokoa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki