-
Zaburi 15:1-5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
Zaburi 84:1-4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Moyo wangu na mwili wangu humshangilia kwa sauti Mungu aliye hai.
3 Hata ndege hupata makao huko
Na mbayuwayu hujipatia kiota,
Ambamo huyatunza makinda wake
Karibu na madhabahu yako tukufu, Ee Yehova wa majeshi,
Mfalme wangu na Mungu wangu!
4 Wenye furaha ni wale wanaokaa katika nyumba yako!+
Wanaendelea kukusifu.+ (Sela)
-