Zaburi 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Akisema: “Mimi mwenyewe nimemweka mfalme wangu+Juu ya Sayuni,+ mlima wangu mtakatifu.” Isaya 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana mtoto amezaliwa kwetu,+Tumepewa mwanaNa utawala* utakaa juu ya bega lake.+ Jina lake litakuwa Mshauri wa Ajabu,+ Mungu Mwenye Nguvu,+ Baba wa Milele, Mkuu wa Amani. Yeremia 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Tazameni! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nitakapomwinulia Daudi chipukizi adilifu.*+ Na mfalme atatawala+ na kuwa na ufahamu na kutekeleza haki na uadilifu katika nchi.+ Mika 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na wewe, Ee Bethlehemu Efratha,+Uliye mdogo sana usiweze kuwa miongoni mwa maelfu ya* Yuda,+Kutoka kwako atatoka kwa ajili yangu yule atakayekuwa mtawala katika Israeli,Ambaye asili yake ni ya tangu nyakati za kale, tangu siku za zamani za kale. Luka 1:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Huyo atakuwa mkuu+ naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Zaidi,+ na Yehova* Mungu atampa kiti cha ufalme cha Daudi baba yake,+ Matendo 5:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mungu alimwinua huyo kuwa Wakili Mkuu+ na Mwokozi+ kwenye mkono wake wa kuume,+ ili kuwapa Israeli toba na msamaha wa dhambi zao.+
6 Kwa maana mtoto amezaliwa kwetu,+Tumepewa mwanaNa utawala* utakaa juu ya bega lake.+ Jina lake litakuwa Mshauri wa Ajabu,+ Mungu Mwenye Nguvu,+ Baba wa Milele, Mkuu wa Amani.
5 “Tazameni! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nitakapomwinulia Daudi chipukizi adilifu.*+ Na mfalme atatawala+ na kuwa na ufahamu na kutekeleza haki na uadilifu katika nchi.+
2 Na wewe, Ee Bethlehemu Efratha,+Uliye mdogo sana usiweze kuwa miongoni mwa maelfu ya* Yuda,+Kutoka kwako atatoka kwa ajili yangu yule atakayekuwa mtawala katika Israeli,Ambaye asili yake ni ya tangu nyakati za kale, tangu siku za zamani za kale.
32 Huyo atakuwa mkuu+ naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Zaidi,+ na Yehova* Mungu atampa kiti cha ufalme cha Daudi baba yake,+
31 Mungu alimwinua huyo kuwa Wakili Mkuu+ na Mwokozi+ kwenye mkono wake wa kuume,+ ili kuwapa Israeli toba na msamaha wa dhambi zao.+