Mwanzo 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Fimbo ya ufalme haitaondoka Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo* atakapokuja,+ na mataifa yatamtii.+ Zaburi 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Akisema: “Mimi mwenyewe nimemweka mfalme wangu+Juu ya Sayuni,+ mlima wangu mtakatifu.” Isaya 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana mtoto amezaliwa kwetu,+Tumepewa mwanaNa utawala* utakaa juu ya bega lake.+ Jina lake litakuwa Mshauri wa Ajabu,+ Mungu Mwenye Nguvu,+ Baba wa Milele, Mkuu wa Amani. Yeremia 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Tazameni! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nitakapomwinulia Daudi chipukizi adilifu.*+ Na mfalme atatawala+ na kuwa na ufahamu na kutekeleza haki na uadilifu katika nchi.+ Luka 1:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Huyo atakuwa mkuu+ naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Zaidi,+ na Yehova* Mungu atampa kiti cha ufalme cha Daudi baba yake,+
10 Fimbo ya ufalme haitaondoka Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo* atakapokuja,+ na mataifa yatamtii.+
6 Kwa maana mtoto amezaliwa kwetu,+Tumepewa mwanaNa utawala* utakaa juu ya bega lake.+ Jina lake litakuwa Mshauri wa Ajabu,+ Mungu Mwenye Nguvu,+ Baba wa Milele, Mkuu wa Amani.
5 “Tazameni! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nitakapomwinulia Daudi chipukizi adilifu.*+ Na mfalme atatawala+ na kuwa na ufahamu na kutekeleza haki na uadilifu katika nchi.+
32 Huyo atakuwa mkuu+ naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Zaidi,+ na Yehova* Mungu atampa kiti cha ufalme cha Daudi baba yake,+