Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wafalme—Yaliyomo

      • Uasi na kifo cha Yehoyakimu (1-7)

      • Yehoyakini, mfalme wa Yuda (8, 9)

      • Uhamisho wa kwanza wa kwenda Babiloni (10-17)

      • Sedekia, mfalme wa Yuda; uasi wake (18-20)

2 Wafalme 24:1

Marejeo

  • +Yer 25:1; 46:2; Da 1:1; 3:1; 4:33

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Unabii wa Danieli, kur. 31-32

  • Fahirishi ya Machapisho

    dp 31-32

2 Wafalme 24:2

Marejeo

  • +Hab 1:6
  • +Law 26:27, 28; Kum 28:15; 2Fa 23:27

2 Wafalme 24:3

Marejeo

  • +Law 26:33; Kum 4:26
  • +2Fa 21:11; 23:26

2 Wafalme 24:4

Marejeo

  • +2Fa 21:16; Yer 2:34; 19:4
  • +Yer 15:1; Omb 3:42

2 Wafalme 24:5

Marejeo

  • +2Nya 36:8

2 Wafalme 24:6

Marejeo

  • +Yer 22:18, 19; 36:30

2 Wafalme 24:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Yer 46:2
  • +Hes 34:2, 5
  • +Mwa 15:18; 1Fa 4:21

2 Wafalme 24:8

Marejeo

  • +Yer 24:1; 37:1
  • +2Nya 36:8

2 Wafalme 24:10

Marejeo

  • +Da 1:1

2 Wafalme 24:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    11/2007, uku. 16

    “Kila Andiko,” kur. 132-133

    Neno la Mungu, uku. 48

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/1988, uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    g 11/07 16

2 Wafalme 24:12

Marejeo

  • +2Nya 36:9, 10; Yer 24:1; Eze 17:12
  • +Yer 29:1, 2
  • +Yer 52:28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Neno la Mungu, uku. 48

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/1988, uku. 29

2 Wafalme 24:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “jumba la mfalme.”

Marejeo

  • +2Fa 20:13, 17
  • +1Fa 7:48-50; Ezr 1:7; Da 5:2

2 Wafalme 24:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “mjenzi wa maboma ya ulinzi.”

Marejeo

  • +Da 1:3, 6
  • +Yer 24:1
  • +2Fa 25:12

2 Wafalme 24:15

Marejeo

  • +2Fa 25:27; 1Nya 3:17
  • +Yer 22:24, 25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/1988, uku. 29

2 Wafalme 24:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “wajenzi wa maboma ya ulinzi.”

2 Wafalme 24:17

Marejeo

  • +1Nya 3:15
  • +2Nya 36:10-12; Yer 37:1; 52:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/1988, uku. 29

2 Wafalme 24:18

Marejeo

  • +2Fa 23:31

2 Wafalme 24:19

Marejeo

  • +2Fa 23:36, 37; Yer 24:8; 37:1, 2; 38:5, 6; Eze 21:25

2 Wafalme 24:20

Marejeo

  • +2Fa 23:27
  • +2Nya 36:11, 13; Yer 27:12; 38:17; Eze 17:12-15

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Fal. 24:1Yer 25:1; 46:2; Da 1:1; 3:1; 4:33
2 Fal. 24:2Hab 1:6
2 Fal. 24:2Law 26:27, 28; Kum 28:15; 2Fa 23:27
2 Fal. 24:3Law 26:33; Kum 4:26
2 Fal. 24:32Fa 21:11; 23:26
2 Fal. 24:42Fa 21:16; Yer 2:34; 19:4
2 Fal. 24:4Yer 15:1; Omb 3:42
2 Fal. 24:52Nya 36:8
2 Fal. 24:6Yer 22:18, 19; 36:30
2 Fal. 24:7Yer 46:2
2 Fal. 24:7Hes 34:2, 5
2 Fal. 24:7Mwa 15:18; 1Fa 4:21
2 Fal. 24:8Yer 24:1; 37:1
2 Fal. 24:82Nya 36:8
2 Fal. 24:10Da 1:1
2 Fal. 24:122Nya 36:9, 10; Yer 24:1; Eze 17:12
2 Fal. 24:12Yer 29:1, 2
2 Fal. 24:12Yer 52:28
2 Fal. 24:132Fa 20:13, 17
2 Fal. 24:131Fa 7:48-50; Ezr 1:7; Da 5:2
2 Fal. 24:14Da 1:3, 6
2 Fal. 24:14Yer 24:1
2 Fal. 24:142Fa 25:12
2 Fal. 24:152Fa 25:27; 1Nya 3:17
2 Fal. 24:15Yer 22:24, 25
2 Fal. 24:171Nya 3:15
2 Fal. 24:172Nya 36:10-12; Yer 37:1; 52:1
2 Fal. 24:182Fa 23:31
2 Fal. 24:192Fa 23:36, 37; Yer 24:8; 37:1, 2; 38:5, 6; Eze 21:25
2 Fal. 24:202Fa 23:27
2 Fal. 24:202Nya 36:11, 13; Yer 27:12; 38:17; Eze 17:12-15
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wafalme 24:1-20

Kitabu cha Pili cha Wafalme

24 Katika siku za utawala wa Yehoyakimu, Mfalme Nebukadneza+ wa Babiloni alikuja kumshambulia, Yehoyakimu akawa mtumishi wake kwa miaka mitatu. Hata hivyo, alimgeuka na kumwasi. 2 Kisha Yehova akaanza kutuma makundi ya wavamizi ya Wakaldayo,+ Wasiria, Wamoabu, na Waamoni yaende kumshambulia. Aliendelea kutuma makundi hayo yawavamie watu wa Yuda ili kuwaangamiza, kulingana na neno la Yehova+ alilosema kupitia watumishi wake manabii. 3 Hakika watu wa Yuda walipatwa na mambo hayo kwa agizo la Yehova, ili kuwaondoa mbele za macho yake+ kwa sababu ya dhambi zote ambazo Manase alitenda,+ 4 na pia kwa sababu ya damu isiyo na hatia aliyomwaga,+ kwa maana alijaza Yerusalemu damu isiyo na hatia na Yehova hakutaka kumsamehe.+

5 Na mambo mengine katika historia ya Yehoyakimu, mambo yote aliyotenda, je, hayajaandikwa katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Yuda?+ 6 Kisha Yehoyakimu akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake;+ na Yehoyakini mwanawe akawa mfalme baada yake.

7 Mfalme wa Misri hakutoka tena kamwe katika nchi yake, kwa maana mfalme wa Babiloni alichukua vitu vyote vilivyokuwa vya mfalme wa Misri,+ kuanzia Korongo* la Misri+ mpaka Mto Efrati.+

8 Yehoyakini+ alikuwa na umri wa miaka 18 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miezi mitatu huko Yerusalemu.+ Mama yake aliitwa Nehushta binti ya Elnathani wa Yerusalemu. 9 Yehoyakini aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova, alitenda mambo yote ambayo baba yake alitenda. 10 Wakati huo watumishi wa Mfalme Nebukadneza wa Babiloni walipanda kwenda kushambulia Yerusalemu, wakalizingira jiji hilo.+ 11 Mfalme Nebukadneza wa Babiloni alikuja wakati watumishi wake walipokuwa wakilizingira jiji hilo.

12 Mfalme Yehoyakini wa Yuda akatoka nje kwenda kukutana na mfalme wa Babiloni,+ akiwa pamoja na mama yake, watumishi wake, wakuu wake, na maofisa wa makao yake;+ na mfalme wa Babiloni akamchukua mateka katika mwaka wa nane wa utawala wake.+ 13 Kisha akachukua hazina zote za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme.*+ Alivikata vipandevipande vyombo vyote vya dhahabu ambavyo Sulemani mfalme wa Israeli alitengeneza katika hekalu la Yehova.+ Hilo lilitendeka kama Yehova alivyokuwa ametabiri. 14 Akawapeleka uhamishoni watu wote wa Yerusalemu, wakuu wote,+ mashujaa wote hodari, na kila fundi na mfua chuma*+—aliwapeleka uhamishoni watu 10,000. Hakuna yeyote aliyebaki isipokuwa watu maskini kabisa nchini.+ 15 Basi akampeleka Yehoyakini+ uhamishoni Babiloni;+ alimpeleka pia mama ya mfalme, wake za mfalme, maofisa wa makao yake, na viongozi wa nchi, akawapeleka uhamishoni Babiloni kutoka Yerusalemu. 16 Pia mfalme wa Babiloni aliwapeleka uhamishoni Babiloni mashujaa wote, 7,000, na vilevile mafundi na wahunzi* 1,000, wote walikuwa wanaume mashujaa waliozoezwa kupigana vita. 17 Mfalme wa Babiloni alimweka Matania, mjomba wa Yehoyakini,+ kuwa mfalme baada yake na kubadili jina lake kuwa Sedekia.+

18 Sedekia alikuwa na umri wa miaka 21 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 11 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Hamutali+ binti ya Yeremia kutoka Libna. 19 Sedekia aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova, alitenda mambo yote ambayo Yehoyakimu alitenda.+ 20 Mambo hayo yalitukia Yerusalemu na Yuda kwa sababu ya hasira ya Yehova, mpaka alipowatupa mbali kutoka mbele zake.+ Na Sedekia akamwasi mfalme wa Babiloni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki