Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati—Yaliyomo

      • Mabamba mawili yatengenezwa tena (1-11)

      • Analotaka Yehova (12-22)

        • Mwogopeni na kumpenda Yehova (12)

Kumbukumbu la Torati 10:1

Marejeo

  • +Kut 34:1

Kumbukumbu la Torati 10:3

Marejeo

  • +Kut 34:4

Kumbukumbu la Torati 10:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “yale Maneno Kumi.”

  • *

    Au “kukutanika.”

Marejeo

  • +Kut 32:15
  • +Kut 20:1; 34:28; Kum 4:13
  • +Kum 4:36; 5:4
  • +Kut 19:17; Kum 5:22

Kumbukumbu la Torati 10:5

Marejeo

  • +Kut 34:29

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2006, uku. 31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 1/15 31

Kumbukumbu la Torati 10:6

Marejeo

  • +Hes 20:23, 24; 33:31, 38
  • +Hes 20:28

Kumbukumbu la Torati 10:7

Marejeo

  • +Hes 33:33

Kumbukumbu la Torati 10:8

Marejeo

  • +Hes 1:50; 3:6; 8:14
  • +Hes 3:30, 31
  • +Hes 6:23-27; Kum 21:5; 2Nya 30:27

Kumbukumbu la Torati 10:9

Marejeo

  • +Hes 18:20, 24; Kum 18:1

Kumbukumbu la Torati 10:10

Marejeo

  • +Kut 24:18; 34:28
  • +Kut 32:14

Kumbukumbu la Torati 10:11

Marejeo

  • +Mwa 15:18

Kumbukumbu la Torati 10:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Mik 6:8
  • +Kum 5:29
  • +Kum 5:33; Yos 22:5
  • +Kum 6:5; Lu 10:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 25

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/2009, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 10/1 10

Kumbukumbu la Torati 10:13

Marejeo

  • +Kum 6:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/2009, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 10/1 10

Kumbukumbu la Torati 10:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mbingu zilizo juu zaidi.”

Marejeo

  • +1Nya 29:11; Zb 24:1; 115:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

Kumbukumbu la Torati 10:15

Marejeo

  • +Kum 4:37

Kumbukumbu la Torati 10:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mtahiri govi la.”

  • *

    Au “mwache kufanya shingo zenu kuwa ngumu.”

Marejeo

  • +Kum 30:6
  • +Kut 34:9; Kum 9:6; 31:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 13

Kumbukumbu la Torati 10:17

Marejeo

  • +Kut 18:11; 2Nya 2:5; Zb 97:9
  • +Mdo 10:34; Ro 2:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 125

    Mkaribie Yehova, uku. 114

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1986, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    cl 114

Kumbukumbu la Torati 10:18

Marejeo

  • +Zb 68:5; Yak 1:27
  • +Law 19:10; Kum 24:14; Zb 146:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, kur. 113-114

  • Fahirishi ya Machapisho

    cl 113-114

Kumbukumbu la Torati 10:19

Marejeo

  • +Kut 22:21; Law 19:34

Kumbukumbu la Torati 10:20

Marejeo

  • +Lu 4:8

Kumbukumbu la Torati 10:21

Marejeo

  • +Kut 15:2; Ufu 19:6
  • +2Sa 7:23

Kumbukumbu la Torati 10:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi.”

Marejeo

  • +Mwa 46:27; Kut 1:5; Mdo 7:14
  • +Mwa 15:1, 5

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 10:1Kut 34:1
Kum. 10:3Kut 34:4
Kum. 10:4Kut 32:15
Kum. 10:4Kut 20:1; 34:28; Kum 4:13
Kum. 10:4Kum 4:36; 5:4
Kum. 10:4Kut 19:17; Kum 5:22
Kum. 10:5Kut 34:29
Kum. 10:6Hes 20:23, 24; 33:31, 38
Kum. 10:6Hes 20:28
Kum. 10:7Hes 33:33
Kum. 10:8Hes 1:50; 3:6; 8:14
Kum. 10:8Hes 3:30, 31
Kum. 10:8Hes 6:23-27; Kum 21:5; 2Nya 30:27
Kum. 10:9Hes 18:20, 24; Kum 18:1
Kum. 10:10Kut 24:18; 34:28
Kum. 10:10Kut 32:14
Kum. 10:11Mwa 15:18
Kum. 10:12Mik 6:8
Kum. 10:12Kum 5:29
Kum. 10:12Kum 5:33; Yos 22:5
Kum. 10:12Kum 6:5; Lu 10:27
Kum. 10:13Kum 6:24
Kum. 10:141Nya 29:11; Zb 24:1; 115:16
Kum. 10:15Kum 4:37
Kum. 10:16Kum 30:6
Kum. 10:16Kut 34:9; Kum 9:6; 31:27
Kum. 10:17Kut 18:11; 2Nya 2:5; Zb 97:9
Kum. 10:17Mdo 10:34; Ro 2:11
Kum. 10:18Zb 68:5; Yak 1:27
Kum. 10:18Law 19:10; Kum 24:14; Zb 146:9
Kum. 10:19Kut 22:21; Law 19:34
Kum. 10:20Lu 4:8
Kum. 10:21Kut 15:2; Ufu 19:6
Kum. 10:212Sa 7:23
Kum. 10:22Mwa 46:27; Kut 1:5; Mdo 7:14
Kum. 10:22Mwa 15:1, 5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 10:1-22

Kumbukumbu la Torati

10 “Wakati huo Yehova aliniambia, ‘Jichongee mabamba mawili ya mawe kama yale ya kwanza,+ upande uje kwangu mlimani; jitengenezee pia sanduku la mbao. 2 Nami nitaandika kwenye mabamba hayo maneno yaliyokuwa kwenye yale mabamba ya kwanza ambayo uliyavunja, na uweke mabamba hayo ndani ya sanduku hilo.’ 3 Kwa hiyo nikatengeneza sanduku kwa mbao za mshita na kuchonga mabamba mawili ya mawe kama yale ya kwanza na kupanda juu mlimani nikiwa nimebeba mabamba hayo mawili mkononi mwangu.+ 4 Kisha akaandika kwenye mabamba hayo maneno aliyoandika mwanzoni,+ zile Amri Kumi,*+ ambazo Yehova aliwaambia mlimani kutoka katika moto+ siku ya kusanyiko;*+ Yehova akanipa mabamba hayo. 5 Basi nikageuka na kushuka kutoka mlimani+ na kuyaweka mabamba hayo katika sanduku nililokuwa nimetengeneza, na yangali humo, kama Yehova alivyokuwa ameniamuru.

6 “Kisha Waisraeli wakaondoka Beerothi Bene-yaakani na kwenda Mosera. Haruni akafa na kuzikwa huko,+ na Eleazari mwana wake akaanza kutumikia akiwa kuhani baada yake.+ 7 Kutoka huko wakaelekea Gudgoda, na kutoka Gudgoda wakaelekea Yotbata,+ nchi yenye vijito vingi vya maji.

8 “Wakati huo Yehova aliliteua kabila la Lawi+ ili libebe sanduku la agano la Yehova,+ lisimame mbele za Yehova ili kumhudumia, na kubariki katika jina lake,+ kama linavyofanya mpaka leo. 9 Ndio maana Lawi hana fungu wala urithi pamoja na ndugu zake. Yehova ndiye urithi wake, kama Yehova Mungu wako alivyokuwa amemwambia.+ 10 Mimi mwenyewe nilikaa mlimani siku 40, mchana na usiku,+ kama nilivyofanya mwanzoni, na Yehova alinisikiliza wakati huo pia.+ Yehova hakutaka kuwaangamiza. 11 Kisha Yehova akaniambia, ‘Tangulia mbele ya watu, na mjitayarishe kuondoka, ili waingie na kuimiliki nchi ambayo nimewaapia mababu zao kwamba nitawapa.’+

12 “Sasa, enyi Waisraeli, Yehova Mungu wenu anataka mfanye nini?+ Hili tu ndilo analotaka: mmwogope Yehova Mungu wenu,+ mtembee katika njia zake zote,+ mumpende, na kumtumikia Yehova Mungu wenu kwa moyo wenu wote na kwa nafsi* yenu yote,+ 13 na kushika amri na sheria za Yehova ninazowaamuru leo kwa faida yenu wenyewe.+ 14 Tazameni, mbingu, hata mbingu za mbingu* ni mali ya Yehova Mungu wenu, pamoja na dunia na vitu vyote vilivyomo.+ 15 Lakini Yehova aliwakaribia na kudhihirisha upendo wake kwa mababu zenu tu, naye amewachagua ninyi, wazao wao,+ kutoka kati ya mataifa yote, kama mlivyo leo. 16 Ni lazima sasa msafishe*+ mioyo yenu na kuacha ukaidi.*+ 17 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa mabwana, Mungu mkuu, mwenye nguvu, na mwenye kuogopesha, asiyempendelea yeyote+ na hakubali rushwa. 18 Hutekeleza haki kwa ajili ya yatima na mjane+ na kumpenda mkaaji mgeni,+ humpa chakula na mavazi. 19 Ni lazima ninyi pia mumpende mkaaji mgeni, kwa maana mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+

20 “Mnapaswa kumwogopa Yehova Mungu wenu, na kumtumikia yeye,+ mnapaswa kushikamana naye, nanyi mnapaswa kuapa kwa jina lake. 21 Yeye Ndiye mnayepaswa kumsifu.+ Yeye ni Mungu wenu, ambaye amewafanyia mambo haya makuu na yenye kuogopesha mliyoyaona kwa macho yenu wenyewe.+ 22 Mababu zenu waliposhuka kwenda Misri walikuwa watu* 70,+ na sasa Yehova Mungu wenu amewafanya muwe wengi kama nyota za mbinguni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki