Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wathesalonike 3
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wathesalonike—Yaliyomo

      • Endeleeni kusali (1-5)

      • Onyo dhidi ya kutofuata utaratibu (6-15)

      • Salamu za mwisho (16-18)

2 Wathesalonike 3:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Ro 15:30; 1Th 5:25; Ebr 13:18
  • +Mdo 19:20; 1Th 1:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Wapiga-Mbiu, uku. 108

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/1991, uku. 23

2 Wathesalonike 3:2

Marejeo

  • +Isa 25:4
  • +Mdo 28:24; Ro 10:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/2009, uku. 8

    5/15/1998, uku. 10

2 Wathesalonike 3:5

Marejeo

  • +1Yo 5:3
  • +Lu 21:19; Ro 5:3

2 Wathesalonike 3:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “maagizo.”

  • *

    Au labda, “walizopokea.”

Marejeo

  • +1Th 5:14
  • +1Ko 11:2; 2Th 2:15; 3:14

2 Wathesalonike 3:7

Marejeo

  • +1Ko 4:16; 1Th 1:6

2 Wathesalonike 3:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “bila kulipa.”

Marejeo

  • +Mdo 20:34
  • +Mdo 18:3; 1Ko 9:14, 15; 2Ko 11:9; 1Th 2:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2019, uku. 5

2 Wathesalonike 3:9

Marejeo

  • +Mt 10:9, 10; 1Ko 9:6, 7
  • +1Ko 11:1; Flp 3:17

2 Wathesalonike 3:10

Marejeo

  • +1Th 4:11, 12; 1Ti 5:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Huduma ya Ufalme,

    2/1994, uku. 7

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1987, uku. 18

2 Wathesalonike 3:11

Marejeo

  • +1Th 5:14
  • +1Ti 5:13; 1Pe 4:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 232

2 Wathesalonike 3:12

Marejeo

  • +Efe 4:28

2 Wathesalonike 3:14

Marejeo

  • +2Th 3:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tengenezo, kur. 144-145

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2016, uku. 12

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1999, kur. 29-31

2 Wathesalonike 3:15

Marejeo

  • +1Th 5:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2016, uku. 12

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1999, kur. 30-31

2 Wathesalonike 3:16

Marejeo

  • +Yoh 14:27

2 Wathesalonike 3:17

Marejeo

  • +1Ko 16:21; Kol 4:18

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 The. 3:1Ro 15:30; 1Th 5:25; Ebr 13:18
2 The. 3:1Mdo 19:20; 1Th 1:8
2 The. 3:2Isa 25:4
2 The. 3:2Mdo 28:24; Ro 10:16
2 The. 3:51Yo 5:3
2 The. 3:5Lu 21:19; Ro 5:3
2 The. 3:61Th 5:14
2 The. 3:61Ko 11:2; 2Th 2:15; 3:14
2 The. 3:71Ko 4:16; 1Th 1:6
2 The. 3:8Mdo 20:34
2 The. 3:8Mdo 18:3; 1Ko 9:14, 15; 2Ko 11:9; 1Th 2:9
2 The. 3:9Mt 10:9, 10; 1Ko 9:6, 7
2 The. 3:91Ko 11:1; Flp 3:17
2 The. 3:101Th 4:11, 12; 1Ti 5:8
2 The. 3:111Th 5:14
2 The. 3:111Ti 5:13; 1Pe 4:15
2 The. 3:12Efe 4:28
2 The. 3:142Th 3:6
2 The. 3:151Th 5:14
2 The. 3:16Yoh 14:27
2 The. 3:171Ko 16:21; Kol 4:18
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wathesalonike 3:1-18

Barua ya Pili kwa Wathesalonike

3 Mwishowe, akina ndugu, endeleeni kusali kwa ajili yetu,+ ili neno la Yehova* lizidi kuenea upesi+ na kutukuzwa, kama ilivyo kwenu, 2 na kwamba tukombolewe kutoka kwa watu hatari na waovu,+ kwa maana imani si mali ya watu wote.+ 3 Lakini Bwana ni mwaminifu, naye atawaimarisha na kuwalinda dhidi ya yule mwovu. 4 Zaidi ya hayo, tuna uhakika katika Bwana kuwahusu ninyi, kwamba mnafanya na mtaendelea kufanya mambo tunayowaagiza. 5 Bwana na aendelee kuongoza mioyo yenu ili mfanikiwe kumpenda Mungu+ na kuvumilia+ kwa ajili ya Kristo.

6 Sasa akina ndugu, tunawaagiza katika jina la Bwana Yesu Kristo, mjiepushe na kila ndugu asiyefuata utaratibu+ na desturi* mlizopokea* kutoka kwetu.+ 7 Kwa maana ninyi wenyewe mnajua jinsi mnavyopaswa kutuiga,+ kwa sababu hatukukosa kufuata utaratibu tulipokuwa nanyi, 8 wala hatukula chakula cha yeyote bure.*+ Badala yake, tulifanya kazi ngumu na yenye kutaabisha usiku na mchana ili tusimpe yeyote kati yenu mzigo wenye gharama.+ 9 Si kwamba hatuna mamlaka,+ bali tulitaka kuwawekea mfano ili mtuige.+ 10 Kwa kweli, tulipokuwa nanyi tulikuwa tukiwaagiza hivi: “Mtu yeyote asiyetaka kufanya kazi, asile chakula.”+ 11 Kwa maana tunasikia watu fulani miongoni mwenu hawafuati utaratibu,+ hawafanyi kazi yoyote, bali wanajiingiza katika mambo yasiyowahusu.+ 12 Tunawaagiza watu hao na kuwahimiza katika Bwana Yesu Kristo wafanye kazi kwa utulivu na kula chakula ambacho wao wenyewe wamekifanyia kazi.+

13 Nanyi akina ndugu, msichoke kutenda mema. 14 Lakini ikiwa yeyote hatii maneno yetu kupitia barua hii, mtieni alama na mwache kushirikiana naye,+ ili aone aibu. 15 Lakini msimwone mtu huyo kama adui, bali endeleeni kumwonya+ kama ndugu.

16 Basi, Bwana wa amani na aendelee kuwapa amani kwa kila njia.+ Bwana awe nanyi nyote.

17 Hii ni salamu yangu, mimi Paulo, kwa mkono wangu mwenyewe,+ ambayo ni ishara katika kila barua; hivi ndivyo ninavyoandika.

18 Fadhili zisizostahiliwa za Bwana wetu Yesu Kristo na ziwe pamoja nanyi nyote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki