Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wakorintho—Yaliyomo

      • Kisa cha uasherati (1-5)

      • Chachu kidogo huchachisha donge lote (6-8)

      • Mtu mwovu aondolewe (9-13)

1 Wakorintho 5:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Neno la Kigiriki porneiʹa. Angalia Kamusi.

  • *

    Neno la Kigiriki porneiʹa. Angalia Kamusi.

  • *

    Tnn., “kuwa.”

Marejeo

  • +Efe 5:3
  • +Law 18:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/1997, uku. 28

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 8/15 28

1 Wakorintho 5:2

Marejeo

  • +2Ko 7:9
  • +1Ko 5:13; 2Yo 10

1 Wakorintho 5:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 222

1 Wakorintho 5:5

Marejeo

  • +1Ti 1:20
  • +1Ko 1:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2012, uku. 22

    7/15/2008, kur. 26-27

    11/15/2006, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 2/15 22; w08 7/15 26-27; w06 11/15 27

1 Wakorintho 5:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hamira.”

Marejeo

  • +1Ko 15:33; Gal 5:9; 2Ti 2:16, 17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 57

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/1993, uku. 5

1 Wakorintho 5:7

Marejeo

  • +Yoh 1:29
  • +1Pe 1:19, 20; Ufu 5:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 120

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    4/2018, uku. 2

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2013, uku. 19

    3/15/1994, uku. 4

    3/15/1993, uku. 5

    2/15/1990, uku. 10

    4/15/1988, kur. 27-28

1 Wakorintho 5:8

Marejeo

  • +Kut 13:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/1993, uku. 5

1 Wakorintho 5:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuchangamana.”

  • *

    Angalia Kamusi, “Uasherati.”

1 Wakorintho 5:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi, “Uasherati.”

Marejeo

  • +1Yo 2:17
  • +Yoh 17:15

1 Wakorintho 5:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuchangamana.”

  • *

    Angalia Kamusi, “Uasherati.”

  • *

    Au “mtu anayetumia maneno machafu.”

Marejeo

  • +Hes 16:25, 26; Ro 16:17; 2Yo 10
  • +Efe 5:5
  • +Kum 21:20, 21; 1Pe 4:3
  • +1Ko 6:9, 10; Gal 5:19-21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 58

    Amkeni!,

    9/8/1996, uku. 27

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/1988, kur. 26-28

  • Fahirishi ya Machapisho

    g96 9/8 27

1 Wakorintho 5:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 222

1 Wakorintho 5:13

Marejeo

  • +Mhu 12:14
  • +Mwa 3:23, 24; Kum 17:7; Tit 3:10; 2Yo 10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2015, uku. 30

    5/15/1995, uku. 13

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Kor. 5:1Efe 5:3
1 Kor. 5:1Law 18:8
1 Kor. 5:21Ko 5:13; 2Yo 10
1 Kor. 5:22Ko 7:9
1 Kor. 5:51Ti 1:20
1 Kor. 5:51Ko 1:8
1 Kor. 5:61Ko 15:33; Gal 5:9; 2Ti 2:16, 17
1 Kor. 5:7Yoh 1:29
1 Kor. 5:71Pe 1:19, 20; Ufu 5:12
1 Kor. 5:8Kut 13:7
1 Kor. 5:101Yo 2:17
1 Kor. 5:10Yoh 17:15
1 Kor. 5:11Hes 16:25, 26; Ro 16:17; 2Yo 10
1 Kor. 5:11Efe 5:5
1 Kor. 5:11Kum 21:20, 21; 1Pe 4:3
1 Kor. 5:111Ko 6:9, 10; Gal 5:19-21
1 Kor. 5:13Mhu 12:14
1 Kor. 5:13Mwa 3:23, 24; Kum 17:7; Tit 3:10; 2Yo 10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wakorintho 5:1-13

Barua ya Kwanza kwa Wakoritho

5 Kwa kweli kuna habari kwamba kuna uasherati*+ miongoni mwenu, tena uasherati* ambao haujatokea hata miongoni mwa mataifa—mwanamume kuishi* na mke wa baba yake.+ 2 Na je, ninyi mnajivunia jambo hilo? Je, hampaswi kuomboleza+ ili mtu aliyefanya kitendo hicho aondolewe miongoni mwenu?+ 3 Ingawa sipo katika mwili, nipo katika roho, tayari nimemhukumu mtu huyo ambaye amefanya tendo hilo, kana kwamba nipo pamoja nanyi. 4 Mnapokusanyika pamoja katika jina la Bwana wetu Yesu, na kujua kwamba nipo nanyi katika roho pamoja na nguvu za Bwana wetu Yesu, 5 lazima mumkabidhi mtu wa namna hiyo kwa Shetani+ kwa ajili ya kuangamizwa kwa mwili, ili roho iokolewe katika siku ya Bwana.+

6 Kujisifu kwenu hakufai. Je, hamjui kwamba chachu* kidogo huchachisha donge lote?+ 7 Ondoeni chachu ya zamani, ili muwe donge jipya, kwa kuwa ninyi hamna chachu. Kwa maana, kwa kweli, Kristo mwanakondoo wetu wa Pasaka+ ametolewa dhabihu.+ 8 Basi na tufanye sherehe,+ si kwa chachu ya zamani, wala kwa chachu ya ubaya na uovu, bali kwa mikate isiyo na chachu ya unyoofu na kweli.

9 Katika barua yangu niliwaandikia mwache kushirikiana* na waasherati,* 10 si kumaanisha waasherati* wa ulimwengu huu+ au watu wenye pupa na wanyang’anyi au waabudu-sanamu. Kama ingekuwa hivyo, kwa kweli ingewabidi mwondoke katika ulimwengu.+ 11 Lakini sasa ninawaandikia mwache kushirikiana*+ na mtu yeyote anayeitwa ndugu ambaye ni mwasherati* au mtu mwenye pupa+ au anayeabudu sanamu au mtukanaji* au mlevi+ au mnyang’anyi,+ hata msile chakula pamoja na mtu wa namna hiyo. 12 Kwa maana inanihusu nini kuwahukumu wale walio nje? Je, ninyi hamwahukumu wale walio ndani, 13 huku Mungu akiwahukumu wale walio nje?+ “Mwondoeni mtu mwovu miongoni mwenu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki