Mwanzo 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini kuhusu matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula, utakufa hakika.”+ Mwanzo 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa jasho la uso wako utakula mkate mpaka utakaporudi katika udongo, kwa kuwa ulitolewa katika huo.+ Kwa maana wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini.”+ Zaburi 146:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Roho yake hutoka,+ naye hurudi kwenye udongo wake;+Siku hiyo mawazo yake hupotea.+ Methali 21:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mtu anayeiacha njia ya ufahamu,+ atapumzika katika kutaniko la wale wasiojiweza katika kifo.+ Mhubiri 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hata ikiwa ameishi miaka elfu moja mara mbili na bado hajaona yaliyo mema,+ je, kila mtu haendi mahali pamoja?+ Mhubiri 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+ Ezekieli 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tazama! Nafsi zote—ni zangu.+ Kama ilivyo nafsi+ ya baba ndivyo ilivyo nafsi ya mwana—ni zangu.+ Nafsi inayotenda dhambi+—hiyo yenyewe itakufa.+ Waroma 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana mshahara ambao dhambi hulipa ni kifo,+ lakini zawadi+ ambayo Mungu hutoa ni uzima wa milele+ kupitia Kristo Yesu Bwana wetu.+ 1 Wakorintho 15:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana kama vile katika Adamu wote wanakufa,+ vivyo hivyo pia katika Kristo wote watafanywa kuwa hai.+
17 Lakini kuhusu matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula, utakufa hakika.”+
19 Kwa jasho la uso wako utakula mkate mpaka utakaporudi katika udongo, kwa kuwa ulitolewa katika huo.+ Kwa maana wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini.”+
6 Hata ikiwa ameishi miaka elfu moja mara mbili na bado hajaona yaliyo mema,+ je, kila mtu haendi mahali pamoja?+
5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+
4 Tazama! Nafsi zote—ni zangu.+ Kama ilivyo nafsi+ ya baba ndivyo ilivyo nafsi ya mwana—ni zangu.+ Nafsi inayotenda dhambi+—hiyo yenyewe itakufa.+
23 Kwa maana mshahara ambao dhambi hulipa ni kifo,+ lakini zawadi+ ambayo Mungu hutoa ni uzima wa milele+ kupitia Kristo Yesu Bwana wetu.+
22 Kwa maana kama vile katika Adamu wote wanakufa,+ vivyo hivyo pia katika Kristo wote watafanywa kuwa hai.+