Hesabu 14:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Waambie, ‘ “Kama ninavyoishi,” asema Yehova, “ikiwa sitawafanyia ninyi vile ambavyo mmesema masikioni mwangu!+ Kumbukumbu la Torati 1:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 “Wakati wote huo Yehova alisikia sauti ya maneno yenu. Basi akakasirika, akaapa,+ na kusema, Zaburi 95:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ambao niliapa juu yao kwa hasira yangu:+“Hawataingia katika mahali pangu pa kupumzikia.”+ Ezekieli 20:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na mimi mwenyewe pia nikawainulia mkono wangu katika kiapo nyikani,+ kwamba sitawaingiza katika nchi niliyokuwa nimeitoa, yenye kutiririka maziwa na asali,+ (hiyo ni pambo la nchi zote,)+ Waebrania 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini aliapa+ kwa akina nani kwamba hawataingia katika pumziko lake isipokuwa kwa wale waliotenda kwa kutotii?+
28 Waambie, ‘ “Kama ninavyoishi,” asema Yehova, “ikiwa sitawafanyia ninyi vile ambavyo mmesema masikioni mwangu!+
15 Na mimi mwenyewe pia nikawainulia mkono wangu katika kiapo nyikani,+ kwamba sitawaingiza katika nchi niliyokuwa nimeitoa, yenye kutiririka maziwa na asali,+ (hiyo ni pambo la nchi zote,)+
18 Lakini aliapa+ kwa akina nani kwamba hawataingia katika pumziko lake isipokuwa kwa wale waliotenda kwa kutotii?+