Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Waambie, ‘ “Kama ninavyoishi,” asema Yehova, “ikiwa sitawafanyia ninyi vile ambavyo mmesema masikioni mwangu!+

  • Kumbukumbu la Torati 1:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 “Wakati wote huo Yehova alisikia sauti ya maneno yenu. Basi akakasirika, akaapa,+ na kusema,

  • Zaburi 95:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ambao niliapa juu yao kwa hasira yangu:+

      “Hawataingia katika mahali pangu pa kupumzikia.”+

  • Ezekieli 20:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na mimi mwenyewe pia nikawainulia mkono wangu katika kiapo nyikani,+ kwamba sitawaingiza katika nchi niliyokuwa nimeitoa, yenye kutiririka maziwa na asali,+ (hiyo ni pambo la nchi zote,)+

  • Waebrania 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lakini aliapa+ kwa akina nani kwamba hawataingia katika pumziko lake isipokuwa kwa wale waliotenda kwa kutotii?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki