Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 19:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 ndipo wanaume wazee wa jiji lake watatuma watu na kumchukua kutoka humo, nao watamtia mkononi mwa mlipiza-kisasi cha damu, naye lazima afe.+

  • Kumbukumbu la Torati 29:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Ninyi nyote mmesimama mbele za Yehova Mungu wenu, vichwa vya makabila yenu, wanaume wenu wazee na maofisa wenu, kila mtu wa Israeli,+

  • Yoshua 20:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye atakimbilia+ moja la majiji hayo na kusimama hapo kwenye mwingilio wa lango+ la jiji na kusema maneno yake masikioni mwa wanaume wazee+ wa jiji hilo; nao watampokea kwao ndani ya jiji na kumpa mahali, akae pamoja nao.

  • Waamuzi 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Akiwa njiani, akamkamata kijana kutoka kwa watu wa Sukothi+ na kutafuta habari kutoka kwake.+ Basi akamwandikia majina ya wakuu+ wa Sukothi na wanaume wazee wake, watu 77.

  • 1 Wafalme 21:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi mwanamke huyo akaandika barua+ kwa jina la Ahabu, akazitia muhuri+ kwa muhuri wa mfalme, akatuma barua hizo kwa wanaume wazee+ na watu wenye vyeo waliokuwa katika jiji lake, wakikaa na Nabothi.

  • Methali 31:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mume wake+ ni mtu anayejulikana malangoni,+ anapoketi pamoja na wanaume wazee wa nchi.

  • Matendo 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nao wakawachochea watu na wanaume wazee na waandishi, wakamjia ghafula, wakamchukua kwa nguvu na kumpeleka mpaka kwenye Sanhedrini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki