Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 6:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yeye naye akamwambia: “Nakuomba radhi, Yehova. Nitawaokoa Israeli na nini?+ Tazama! Elfu yangu ndiyo ndogo zaidi katika Manase, na mimi ndiye mdogo zaidi katika nyumba ya baba yangu.”+

  • Methali 3:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Atawadhihaki+ wale wenye dhihaka;+ lakini atawapa wapole kibali.+

  • Methali 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Je, kimbelembele kimekuja? Basi aibu itakuja;+ lakini wenye kiasi wana hekima.+

  • Methali 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kabla ya kuanguka moyo wa mwanadamu huwa na kiburi,+ na kabla ya utukufu kuna unyenyekevu.+

  • Methali 22:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Matokeo ya unyenyekevu na kumwogopa Yehova ni utajiri na utukufu na uzima.+

  • Luka 14:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana kila mtu anayejiinua atanyenyekezwa na yule anayejinyenyekeza atainuliwa.”+

  • Yakobo 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hata hivyo, fadhili zisizostahiliwa ambazo yeye hutoa ni kubwa zaidi.+ Kwa hiyo, hilo linasema: “Mungu huwapinga wenye majivuno,+ lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.”+

  • 1 Petro 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Vivyo hivyo, enyi vijana, jitiisheni+ kwa wanaume wazee. Lakini ninyi nyote jifungeni unyenyekevu wa akili kuelekeana ninyi wenyewe,+ kwa sababu Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki