15 Yeye naye akamwambia: “Nakuomba radhi, Yehova. Nitawaokoa Israeli na nini?+ Tazama! Elfu yangu ndiyo ndogo zaidi katika Manase, na mimi ndiye mdogo zaidi katika nyumba ya baba yangu.”+
6 Hata hivyo, fadhili zisizostahiliwa ambazo yeye hutoa ni kubwa zaidi.+ Kwa hiyo, hilo linasema: “Mungu huwapinga wenye majivuno,+ lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.”+
5 Vivyo hivyo, enyi vijana, jitiisheni+ kwa wanaume wazee. Lakini ninyi nyote jifungeni unyenyekevu wa akili kuelekeana ninyi wenyewe,+ kwa sababu Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.+