Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Na tazama, Shimei+ mwana wa Gera, Mbenyamini, kutoka Bahurimu+ yupo pamoja nawe, naye ndiye aliyenilaani kwa laana kali+ siku ile nilipokuwa nikienda Mahanaimu;+ naye ndiye aliyeshuka kuja kunipokea kwenye Yordani,+ hivi kwamba nikamwapia kwa Yehova, nikisema, ‘Mimi sitakuua kwa upanga.’+

  • 1 Wafalme 2:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Na itatukia kwamba siku utakapotoka na kuvuka bonde la mto la Kidroni,+ ujue bila shaka kwamba utakufa hakika.+ Hatia ya damu kwa ajili yako itakuwa juu ya kichwa chako mwenyewe.”+

  • 1 Wafalme 2:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Basi mfalme akamwamuru Benaya mwana wa Yehoyada, naye akatoka akamshambulia, akafa.+

      Na ufalme ukafanywa imara mkononi mwa Sulemani.+

  • Waebrania 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana watu huapa kwa aliye mkubwa zaidi,+ na kiapo chao ndicho mwisho wa kila bishano, kwa kuwa hicho ni uhakikisho wa kisheria kwao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki