15 Naye akaendelea hivi: “Wewe mwenyewe unajua vema kwamba ufalme ulipaswa kuwa wangu, na Israeli wote walikuwa wamenielekezea uso ili niwe mfalme;+ lakini ufalme ukageuka, ukawa wa ndugu yangu, kwa maana ni kutokana na Yehova kwamba ukawa wake.+
24 Na sasa, kama Yehova anavyoishi+ ambaye amenifanya imara+ na kuendelea kuniketisha juu ya kiti cha ufalme cha Daudi baba yangu+ na ambaye alinifanyia nyumba+ kama vile ambavyo amesema,+ leo Adoniya atauawa.”+
29Basi Daudi mfalme akaliambia kutaniko lote:+ “Sulemani mwanangu, ambaye Mungu amemchagua,+ ni mchanga+ na mwororo, lakini kazi ni kubwa; kwa kuwa jumba hilo la kifalme si la mwanadamu,+ bali ni la Yehova Mungu.