Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nanyi mtabomoa madhabahu+ zao na kuvunja-vunja nguzo zao takatifu,+ nanyi mtaiteketeza miti yao mitakatifu+ katika moto na kukata sanamu za kuchongwa+ za miungu yao, nanyi mtayaharibu majina yao kutoka mahali hapo.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Tena wakabomoa mbele yake zile madhabahu+ za Mabaali;+ na vile vinara vya uvumba+ vilivyokuwa juu akavikata kutoka juu yazo; na ile miti mitakatifu+ na sanamu za kuchongwa+ na sanamu za kuyeyushwa akazivunja vipande-vipande na kuzifanya kuwa mavumbi,+ kisha akayanyunyiza juu ya uso wa makaburi ya wale waliokuwa wakizitolea dhabihu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 hata alibomoa madhabahu+ na miti mitakatifu,+ na sanamu za kuchongwa+ akaziponda na kuzifanya kuwa mavumbi;+ na vinara vyote vya uvumba+ akavikata katika nchi yote ya Israeli, kisha akarudi Yerusalemu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki